Recent content by lekiko

  1. lekiko

    JamiiForums Tanzania Tangu uzaliwe ulishawahi sikia au kuona ripoti ikisomwa, kuonyesha sababu ya kifo cha mtu flani ni UKIMWI?

    Ugonjwa wowote Homa ya Ini, malaria, kisukari Hata hiyo COVID 19 chanzo chake ni UKIMWI yaani Upungufu wa KInga mwilini. Kwa miili yenye KInga ni vigumu kushambuliwa na ugonjwa sababu hawana UKIMWI. Tunatumia dawa ili kuongeza nguvu kwenye virusi vinavyoshabulia ugonjwa husika, jambo la muhimu...
  2. lekiko

    JamiiForums Tanzania Tangu uzaliwe ulishawahi sikia au kuona ripoti ikisomwa, kuonyesha sababu ya kifo cha mtu flani ni UKIMWI?

    UKIMWI sio ugonjwa ni Upungufu wa KInga MWIlini, ugonjwa wowote kwa kiumbe hapa ulimwenguni husababishwa na Upungufu wa KInga mwilini, hivyo basi tutakufa kwa ugonjwa ambao KInga zake zitakuwa zimepungua mwilini,
  3. lekiko

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanataka haki bila wajibu, watoe darasa kwa umma.

    Serikali ni nani.
  4. lekiko

    JamiiForums Tanzania Wajinga Ndiyo Waliwao. CHADEMA Wanakamuliwa na Kuchangishwa Michango Halafu Viongozi Wao Wanafanyia Starehe Na Kujineemesha. Amkeni CHADEMA Usingizini

    Mbona huongelei mnazotapeliwa na wachungaji wanaowauzia maji, udongo mpaka chupi eti za Upako na hao vilema na vipofu feki?
  5. lekiko

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Zitto wewe ni nani katika nchi hii kumtaka Rais amwachie Lissu, huijui sheria?

    - 18. - - Kila mtu- (a) anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake; (b) anayo haki ya kutafuta, kupokea na kutoa habari bila ya kujali mipaka ya nchi; (c) anao uhuru wa kufanya mawasiliano na haki ya kutoingiliwa katika mawasiliano yake; na (d) anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote...
  6. lekiko

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Tumezuia mikutano ya siasa kuepusha watu wenye nia mbaya kurusha mabomu na kuua watu wengi

    Na alidai kuwa ana ushahidi wa duniani na mbinguni ambao mpaka Leo hajautoa na huo wa mbinguni sijui aliupataje wakati Bado yupo duniani.
  7. lekiko

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Tumekamata mtu ameahidiwa dola milioni 1 endapo watu wengi watakufa - Kinachotafutwa ni rasilimali

    Kuna Sheria ya kwamba kusingizia ni kosa la jinai, kusema Uongo ni kosa na jinai na Lina kifungo, Sasa sijui Sheria hii kwa Tanzania inawahusu watu gani, Kuna mtu aliwahi kusema kuwa maiti waliokuwa wanaokotwa kwenye walikuwa ni wajamiaji haramu, kwenye mabomu ya Arusha alikuwa na ushahidi wa...
  8. lekiko

    JamiiForums Tanzania Ushauri: wafuasi na Viongozi wa CHADEMA heshimuni kauli za viongozi wetu hiyo jeuri yenu kafanyieni kwenye nchi zingine siyo Tanzania

    Mtoa mada nchi haiongozwi kwa matamko. Wewe inaweza kuwa hata mtaani kwenu hushiriki shughuli yoyote iwe maafa, misiba, mikutano, sherehe hata kazi za maendeleo. Kama nchi ni ya mfumo wa vyama vingi na kazi ya chama ni kuibua makosa yanayofanywa na chama kingine ili kujipatia wafuasi na hata...
Back
Top Bottom