Ugonjwa wowote Homa ya Ini, malaria, kisukari Hata hiyo COVID 19 chanzo chake ni UKIMWI yaani Upungufu wa KInga mwilini. Kwa miili yenye KInga ni vigumu kushambuliwa na ugonjwa sababu hawana UKIMWI. Tunatumia dawa ili kuongeza nguvu kwenye virusi vinavyoshabulia ugonjwa husika, jambo la muhimu...
UKIMWI sio ugonjwa ni Upungufu wa KInga MWIlini, ugonjwa wowote kwa kiumbe hapa ulimwenguni husababishwa na Upungufu wa KInga mwilini, hivyo basi tutakufa kwa ugonjwa ambao KInga zake zitakuwa zimepungua mwilini,
- 18. - - Kila mtu-
(a) anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake;
(b) anayo haki ya kutafuta, kupokea na kutoa habari bila ya kujali mipaka ya nchi;
(c) anao uhuru wa kufanya mawasiliano na haki ya kutoingiliwa katika mawasiliano yake; na
(d) anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote...
Kuna Sheria ya kwamba kusingizia ni kosa la jinai, kusema Uongo ni kosa na jinai na Lina kifungo, Sasa sijui Sheria hii kwa Tanzania inawahusu watu gani, Kuna mtu aliwahi kusema kuwa maiti waliokuwa wanaokotwa kwenye walikuwa ni wajamiaji haramu, kwenye mabomu ya Arusha alikuwa na ushahidi wa...
Mtoa mada nchi haiongozwi kwa matamko. Wewe inaweza kuwa hata mtaani kwenu hushiriki shughuli yoyote iwe maafa, misiba, mikutano, sherehe hata kazi za maendeleo. Kama nchi ni ya mfumo wa vyama vingi na kazi ya chama ni kuibua makosa yanayofanywa na chama kingine ili kujipatia wafuasi na hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.