Chadema acheni porojo,njooni na sera zenu,mambo ya kusema wengine sio tija,nyie tuelezeni mtatufanyia nini watanzania?maana leo anaenda kutembelea kiwanja you are wasting your time ya kampeni,juzi ulikuwa kifungoni why wasting time??????
Kwani kanuni zinasemaje kuhusu hilo?kama kuna mawakala huko ndani ya kituo cha kupigia kura unasubiria nini tena hapo nje?kukwepa matatizo yasiyo ya lazima na vyombo vya dola ukishamaliza kupiga kura kapuumzike nyumbani mengine tume itafanya kwa mujibu wa sheria na kanuni
Huyu mbona alishahama CDM siku nyingi?kweli watanzania hatutaki kufikiri nje ya Box,huyu ni wa kwetu tangu siku nyingi,wala msihangaike hii kitu ilishakuwa kwenye pipe line kwa muda Mrefu sasa na aliyechochea hili zaidi ni mzee baada ya kurudi nyumbani,muwategemee wengine wengi kurudi,the likes...
Ulichokisema ni sawa kabisa,hizi ndege 737 seating configuration yake ni 3 kwa 3.hii iliyopata ajali inaoneka ni wide body 2 kwa 4 kwa 3,sasa huenda kuna kitu hakiko sawa,anyway ndo hivyo siku ikifika imefika tu,kikubwa ni kuwaombea wote waliopeteza maisha wapate puumziko la amani,
kaka wapeleke BOT watapatiwa huduma,lakini pia hata kwenye mabeni yote anaweza patiwa huduma mbona hakuna kilichoharibika?fuatilieni habari kwa umakini acheni kulipuka,yaani napatwa na hasira hadi nataka kusema maneno ambayo najua nitaishia kupigwa ban
Aisee huyu jamaa nilishasema na ninarudia tena "NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU" ofcourse as a normal human being ana mapungufu yake kama kila mmoja wetu,lakini hiki ni chuma cha pua hakishiki kutu na hakipepesuki,tumuombeeni kwa Mungu maana hii vita ya Uchumi ni mbaya sana na imeshikiliwa na watu...
Mimi nasupport hii kwa asilimia 100,kuna siku nilienda kubadili hela mahali alikuja MCHINA na rundo la hela za kitanzania na kununua dola za kutosha hawa ndio wanaotumaliza,hili alilolifanya Rais wetu lazima tumuunge mkono kwa nguvu zetu zote,lakini lifuate pia la kuwafukuza wachina wanaoishi...
Tanzania is a soverinity country,so i don't see any big deal there,they can even call our foreign affair minister if they want to hear from the guy on the ground,tuko gado
Nadhani wewe ndo haujaajiriwa,mimi niko kwenye ajira mwaka wa 15 sasa na nimeshaqualify kuwa pensioner,nimeshachangia miezi 180,hela niliyonayo huko niya kutosha,ila nilikuwa natoa mawazo/maoni kuhusu hao wanaolipwa mafao yao yote kwa mkupuo,ni kweli sheria imeshapita na hakuna namna ya kuifanya...
Bro kwa kifupi ni kwamba hawa sio waajiriwa,kazi zao ni za muda mfupi miaka 5,na pia haina uhakika wa kurudi so inabidi wapewe mafao yao kwa asilimia 100,na pia wengine bado umri wa kustaafu hawajafika so wanaweza pata ajira zingine,so nadhani hilo ndo kubwa waliloliangalia,my ten cents
Alafu watu mnapiga kelele Korosho hazina soko,hapo juu Mkuu mwenyewe anapiga Coffee na Korosho sasa kwanini siziuzike kwa 4000 kwa kilo?soko tunalo hapa hapa Tanzania tulieni vijana mkuu achape kazi
Bro nadhani haujanielewa,lakini kikubwa zaidi nadhani haukufuatilia hotuba ya waziri mkuu jana,nilichoandika hapa ndo ukweli wa mambo,waziri mkuu ameeleza tayari wameshapata sokola kuuza takriban tani 150,000 kama sikosei kupitia kwa mabalozi watanzania walio nje ya nchi,hii ilifanywa tangu muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.