Ni jambo la kufurahisha sana km tutaendeleza mshikamano wetu ambao ni urithi wa wababu zetu,walipendana sana na kushirikiana ktk kila hali bila kuangalia tofauti zao za kiimani.Kama tunaweza kuleta heshima katika hili sisi wa JF basi upo uwezekano mkubwa na wengine wakafanya hivo na hatimae...
u mstaarabu na mwenye heshima sana.
mimi huwa ninajitahidi nifuate mwendo wake vijana wengi siku hizi wanafuata Dini kama
mambo ya mpira huwezi ukatoka kwenda kuchoma Kanisa au Msikiti eti kwa sababu wewe
hupendi Dini ya Mwenzako huo ni uzushi mkubwa na unafiki hata Mwenyeezi Mungu...
Hebu jamani kwanza tufike mahali tujiulize haya yametokea na tushampoteza ndugu yetu mmoja na wengine majeruhi, je nini kifanyike ili hili balaa tukabiliane nalo.
Ahsanteni
Kwa upande wangu naliona hilo ni wazo zuri members tukiwa tunakutana mara moja kwa mwaka, bila ya kujitambulisha majina yetu ila kwa sura tu na pia tunaweza tukapeana namba za simu lkn majina ukasave unavyopenda mwenyewe . Hope kwamba sio kila unaweza ukakiweka open hapa wakati mwingine unakuwa...
Mkuu mtoto mdodo wa umri huo ni kweli anatakiwa awe karibu sana na baba na mama muda wote lakini kutokana na majukumu inakuwa ngumu kidogo, ni vyema Kama muda unao bac endelea kuwa karibu nae karibu tu lakini km muda haukuruhusu unaweza ukawa unawacheki kwa simu Mara kwa Mara sio mbaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.