Ukitaka kujua kwa nini watanzania na waafrika ni masikini soma comment za humu, ujinga ni mzigo kwenye jamii zetu utajiri na biashara ni formula tu haijalishi umeanza wapi
Maisha yangu bila bangi haya wezekani, huwa napata something extra kwenye maisha yangu kupitia bangi inanifanya nifikiria vitu vikubwa ina ni punguzia stress sana za maisha, music sound like magic achana na bangi, tuvute bangi jamani
Unachokiongea hata kwenye bibilia hakijaandikwa hapa ndo huwa tunajua kabisa mungu anaelezwa kwa hisia za watu ila hayupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa kilivyo jieleza nina mchumba wangu ambaye amekuwa akilalamika kuwa anaona vitu vya ajabu kama vifo hili tatizo anasema lilianza tu alipo jifungua ila kwa sasa tatizo lina zidi kuongezeka kuliko lilivyo kuwa mwanzo na toka amejifungua ni mwaka sasa umepita ningependa kujua tatizo...
Nimetoka kupima mkojo vipo vimeonesha kama hivi kwenye picha china japo huyu daktari kasema nije kesho kuonana na ddaktari mwingine ambaye anaweza kunisaidia kwenye hilo tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida huwa nikienda hospitali wanasema sio tatizo baada ya kupima kila kitu ila shida tatizo haliishi ila sasa itanibidi nianze kutumia kinga zidi yake mpaka nitakapo hakikisha tatizo lime kwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitashukuru sana japo nataka kwenda hospitali kabisa ila hata ukiandika hizo dawa itakuwa bora kwasababu zina weza kunisaidia kwa uelewa zaidi wa magonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jumapili wanajamii
Nina mwaka sasa toka nimeona hivyo viuvimbe kwenye mrija wa mkojo nimeende hospitali kama mbili wote na kufanya vipimo kutokana na ushauri wa daktari wamesema sio tatizo ila mimi bado na wasiwasi kuwa huweza likawa tatizo.
Japo sipati maumivu yoyote au kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.