Jamani nahitaji msaada wenu.
Hivi karibuni nimepima kilo zangu nikawa nina kilo 86, nikasafiri kwenda mkoani kwaajili ya sikukuu kila ninayekutana naye ananiambia kuwa nimekonda!
Jamani nifanyaje je? Ni ugonjwa au ni shida gani, maana mimi najiona niko kawaida ila watu wanasema nimekonda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.