Wakiyembe hamna kitu yule yeye anapenda kufanya kaz na vyombo vya habar kama alikuwa na ninia ya kufufuwa reli nchin mbona aliwaacha menejiment ya tazara kuiuwa tazara
Kweli inashangaza kitugani tulichonacho mpaka watuone wivu tunamsubilia sasa alivyoenda China alituadisia walicho mfanyia sasa ajiandae kutuadisia ya marekan na asipo tuadisia aachie nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.