Recent content by leanard

  1. L

    Mbunge Sumbawanga Mjini, Kuliko kujenga Muhimbili mpya kwa Tsh. 1.2 Trilioni bora tujenge hospitali mikoani kuipunguzia mzigo hospital hiyo

    Tatizo ni kutokuwa na university teaching hospital nchini ili doctors wapate registration za fani.Mloganzils iachwe iwe mbalimbali.. mbalimbali..mloganzila iachwe iwe teaching university hospital.
  2. L

    Morocco ni kama Ulaya

    Toeni watu wanaofanya mazoezi barabarani Dar na daraja la Manzese wanachafua jiji.
  3. L

    Jinsi nilivyotapeliwa kizembe na muuzaji wa ‘Simu used kutoka Dubai’

    Wewe hujiwi kuwa watu weusi siyo binadumu kamili hata wakiwa na elimu kubwa.
  4. L

    Mwigulu Nchemba: Mnasema maisha magumu? Magari namba E yamejaa Barabarani, na Benki kuna foleni

    Mbona anaitwa Dr.Hujuwi haya magaro ni mitumba.
  5. L

    Post ya CIA imenifikirisha: Wamelisifia Ziwa Malawi (Ziwa Nyasa) pasipo kuitaja Tanzania!

    Si waweke maboya ya mlpaka ,Dunia inashindwa nini?
  6. L

    Mwananchi: Tunakatazwa kupakia Samaki kwenye Mwendokasi mpya

    Samaki watachafua hewa.Wako sahihi mwendokasi.
  7. L

    Uteuzi: Kafulila ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri ya Wakala wa mabasi yaendayo Haraka (DART)

    Suruhisho 1. Nani atasimamia uzembe wa madereva. 2.Kituo cha mbezi Luis kijengwe iwe centre ya kuanzia mabus ya UDArt 3.Kwenye mataa trafiki wayapitishe haraka mabus 4.Kiwanda cha vipuri kijengwe haraka. 5.90percent ya drivers wawe mafundi.
  8. L

    Chalamila: Tuko hatua za mwisho kuboresha Mwendokasi, Wananchi kuweni na Uvumilivu

    Ni mauzi ya haraka yanahitajika pale kimara
  9. L

    Kama jambo dogo tu kusimamia Mwendokasi tumeshidwa ni kitu gani tunaweza kufanya kwa 100% ?

    Ni roho mbaya tu za wafanyakazi na kutajali waafrica wenzao kuwahufumia.Malalamiko miaka 3 na hatuchukui hatua ya kuifuta mwendokasi.
  10. L

    Afrika inaamka sasa; Malawi, Rais Chakwera ameshindwa kura za Urais baada ya mhula mmoja tu madarakani

    Hapa tatizo ni vijana hawana ulewa wa siasa na uchumi
Back
Top Bottom