We pimbi kumbe hata ww pia hujielew, hivi ww hujiulizi kashfa ya mwaka 2008 inakuja kutolewa majibu leo..? Escrow, EPA,Mabehewa mabovu, kivuko kilichonunuliwa kwa pesa nyingi wakat kimechakaa na kukamatwa kwa pembe za ndovu. Hayo yote nani atakaetupatia majibu..? au ndio tusubir wakiingia...