Habarini wana jamvi.. Nduguzani naombeni mawazo ya nini cha kufanya kwani najikuta katika lundo la makato bila sababu za msingi.
Kimsingi hivi karibuni nimekuta nakatwa hela tu bila hata kujua taratibu zinazoendelea.
Hawa CWT na NIC sikuwahi kuomba kujiunga nao ila tu walishawahi kututembelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.