Habarini wana jamvi.. Nduguzani naombeni mawazo ya nini cha kufanya kwani najikuta katika lundo la makato bila sababu za msingi.
Kimsingi hivi karibuni nimekuta nakatwa hela tu bila hata kujua taratibu zinazoendelea.
Hawa CWT na NIC sikuwahi kuomba kujiunga nao ila tu walishawahi kututembelea ofisini kwetu siku moja wakaongoengea pale lkn hakuna alieonesha interest nao Bandae wakasepa sasa mwaka huu mwezi wa 3 wameanza kunikata (Nic policy) tsh. 5468/
Leo nimepata salaryslip ya mwezi wa 8 nimekuta tena CWT Wameanza kunikata wakati tulipoanza ajira tuliambiwa wanaohitaji wakajaze fomu mimi sikuwahi kujaza na hata ofisi zao sizijui...
Kiukweli imenikatisha sana tamaa kwa sababu sijui nini chakufanya.
Kimsingi hivi karibuni nimekuta nakatwa hela tu bila hata kujua taratibu zinazoendelea.
Hawa CWT na NIC sikuwahi kuomba kujiunga nao ila tu walishawahi kututembelea ofisini kwetu siku moja wakaongoengea pale lkn hakuna alieonesha interest nao Bandae wakasepa sasa mwaka huu mwezi wa 3 wameanza kunikata (Nic policy) tsh. 5468/
Leo nimepata salaryslip ya mwezi wa 8 nimekuta tena CWT Wameanza kunikata wakati tulipoanza ajira tuliambiwa wanaohitaji wakajaze fomu mimi sikuwahi kujaza na hata ofisi zao sizijui...
Kiukweli imenikatisha sana tamaa kwa sababu sijui nini chakufanya.