Nimegundua wapo watu kama nyie ambao hamjui matumiz ya mitandao vzr, we are not hr to have fun wako watu wenye uhitaji hata wa ushauri u don’t need to atk anyone mshauri kama unaweza huwezi just keep quiet
Okay guys nimeandika hii post just to know if there still people who can help without judging atlst try, mwaka jana kuna dada alikua anatafuta kaz huku watu walimuatak na maneno sn nilichukua no yake nikamsaidia infact niko nae mpk sasa kwenye kutafuta kaz ni mtu anashida na hela na muajiri...
Humu wako watu wanaojielewa wanaojua wanataka. Nini na wanaoweza kuchanganua mambo kwenye hii post wapo wanaojibu vzr wapo wanaojibu vby . So who ever will understand Sawa he or she will help
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.