Recent content by lawyer2

  1. L

    Mfanya usafi wa Ofisi anahitajika

    Mfanyakazi wa kufanya usafi anahitajika.Ofisi ipo Upanga-Ilala. Ofisi ni ya sheria. Kazi ni kufanya usafi wa ofisi kama kufagia na kudeki etc. Kwa maulizo zaidi tuwasiliane 0784058879
  2. L

    Mwenye Diploma ya Afya ya Mifugo Anahitajika

    Salaam..Natafuta kijana mwenye Diploma ya Mifugo kwaajili ya kuangalia Mifugo shambani.Lengo ni Kusimamia na kutibu Mifugo Shambani.Shamba liko Morogoro manispaa.Kwa mawasiliano zaidi 0686666666.Asanteni
  3. L

    Kazi ya Afsa Mifugo

    Natafuta mtaalam wa mifugo ambaye atakua na certificate au diploma ya Mifugo kwaajili ya kusimamia Shamba la Mifugo ambalo linajihusisha na ufugaji wa Nguruwe na ndege kama kuku..bata etc.Ni vyema awe na ufahamu wa kutunza na kuhudumia mifugo kitaalam kama kuchoma sindano..dawa na chanjo.Shamba...
  4. L

    Mhudumu wa Hotel anahitajika

    Concern nzuri..hawezi fanya vyote hivyo lakini anaweza wakati flani akawanafanya housekeeping na wakati mwingine au siku ingine ikabidi aingie jikoni..so akiwa na uzoefi wa vingi ni bora zaidi
  5. L

    Mhudumu wa Hotel anahitajika

    Salam..nahitaji mhudumu wa hotel sio lazma awe amesomea hotel management au hotelier lakini awe na uzoefu wa kazi kwa: 1. Kuserve wateja chakula na vinywaji 2. Kufanya House keeping 3. Usafi wa jumla 4. Akiwa na uzoefu wa kupika ni bora pia Hotel ipo Morogoro Mjini na sehemu ya kulala kwa...
  6. L

    Natafuta vijana wa kazi ya Shamba la Mifugo Morogoro

    Natafuta vijana wa kazi ya Shamba la Mifugo. Nafasi ni mbili. Wawe na uzoefu wa kufuga kuku wa mayai na nyama pia,wafahamu chanjo muhimu na tiba pia.Elimu ya mifugo ni vyema lakini sio lazima uzoefu ni muhimu zaidi. Shamba lipo Morogoro mjini.Tuwasiliane kwa ujumbe mfupi ili nikupigie.Uziefu...
  7. L

    Wakuu nipeni ushauri kuhusu puppy (mbwa mdogo)

    Umeuliza swali zuri...Je anaumri gani?ni aina gani ya mbwa?kama amezidi wiki 4 muulizie kama amempa chanjo ya DHLP?Dawa ya minyoo pia.Naomba tuanzie hapa na kwaushauri nichek 0686 666666 mimi pia nafuga mbwa
  8. L

    Natafuta Ngamia wa Kununua

    Asanteni kwa mawazo mazuri..ntafanya hivyo
  9. L

    Natafuta Ngamia wa Kununua

    Salaam.. Naombeni msaada wa kupata ngamia wa kununua hapa Tanzania. Nahitaji wadogo kwa lengo la kufuga. Mwenye nao au anejua pakupqta naombeni msaada. Tuchekiane kwa namba 0686 666666. Asante sana
  10. L

    Kijana wa Kazi anahitajika

    Natafuta kijana wa kazi ya shamba ya kutunza Nguruwe.Nahitaji awe na uzoefu wa kazi hii hasa ulishaji,upandishaji na utunzaji wa watoto. Shamba lipo Morogoro manispaa. Tuwasiliane kwa sms kwa 0686 666666
  11. L

    Nahitaji Mtaalam wa ufugaji kuku

    Salaam wadau, Nahitaji kijana mwenye uzoefu na ufugaji hasa wa kuku na ndege. Anaweza kuwa na elimu formal au uzoefu wa muda mrefu wa kuku wote wa mayai na nyama. Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba 0686 666666 hasa kwa msg au whatsApp. Asante na karibuni.
  12. L

    Mbwa wa shambani

    Mkuu natafuta German Shepherd wa kike mdogo pamoja na boebul mdogo wa kike Sent from my SM-G988B using JamiiForums mobile app
  13. L

    Mfanyakazi wa Shamaba Mwenye Uzoefu na Nguruwe

    Wadau natafuta mfanyakazi wa shamba la mifungo mwenye uzoefu wa kufuga nguruwe/aliyewahi fanya kazi kama hii.Shamaba lipo Morogoro manispaa.Kama yupo au unamjua tuwasiliane tafadhali kwa 0686 666666
  14. L

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Nahitaji Mzani wa kupima Nguruwe...Je unaweza nipa bei yake Sent from my SM-G988B using JamiiForums mobile app
  15. L

    Natafuta Mfanyakazi wa Counter

    Hahaha sio muhimu sana..lamsingi awe msafi..mstaarabu..lugha nzuri na mwaminifu Sent from my SM-G988B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom