Anunaki huenda ni malaika? Maana kunamalaika walitumwa kupeleka sample za udongo for human creation
Simulizi hiyo ipo katika (Abrahamic religion) uislam
Trinity yaani mungu mwana .baba.na roho mtakatifu.?
Yaani yesu ni mungu mwana(mtoto)
Mtoto wa mungu.????
Yupi ndio yehova (Eloy)
Na roho ntakatifu ndi yupi
Maana Mimi nataka kumjua aloe tuumba sisi wote .
Hahaha nlikuwa nawaza hivi hivi nlivyokuwa form 6
Lakini sivyo Mimi ili niishi nategemea seli lakini mungu hategemei chochote anaweza kuishi pekeake bila kuwepe na kitu chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.