Recent content by Laurine paul

  1. L

    CCM yapoteza Wenyeviti wa mitaa Mbeya; wahamia CHADEMA

    siku mwenyewe ukiamia kwenye ukweli ukiachana na majambazi ndio utafahamu kuhusu udini na north...dare to come and u will enjoy been in right part,pia usije mwenyewe come with ur family
  2. L

    Vikao vya NEC na Baraza Kuu CDM kujadili hali tete ya nchi!

    CHADEMA! sijui nani anitenganishe na chama hiki Labda kifo
  3. L

    CHADEMA Kinondoni: Lema ni kama Mandela

    .....uliwai kuishi na mandela au uliwai hata kwenda S.KUSINI ukahakikisha hayo? Hata upake mkaa Gold itazidi kungaaaaa! Lema tena ni Zaidi ya Mandela...long live G.lema we love u
  4. L

    CHADEMA Kinondoni: Lema ni kama Mandela

    Kutokana na matukio mbalimbali hapa nchini ya aliyekuwa mbunge wa A-town G.lema amekuwa akifananishwa na aliyekuwa Rais wa S.kusini Nelsoni Mandela...give out ur comment je? Ni kweli Tz inaweza kuwa na mandela lema
  5. L

    Jeshi la polisi kumkamata Dr. Slaa

    Kelele za inzi hazimtishi m2 kunya...tutazidi kwenda mbele hadi kwenye ukombozi,..
  6. L

    UVCCM Arusha wafunga mjadala wa Ole Millya - Tuhuma dhidi yake ni ya Upotoshaji

    Kujenga kunaitaji mda na utalamu mwingi lakini kubomoa hakuna utalamu wala hakugarimu na hii ndiyo imewakumba magamba wamejenga kwa mda mwingi chama lkn kubomolewa....
Back
Top Bottom