Johnbosco Mligo
Member
- Apr 7, 2012
- 52
- 8
una uhakika na hayo uloandika! au kuna jambo unalichunguza kisela. katika hali ya kawaida lowassa hawezi kwenda chadema! nawe watuambia kuwa eti amemtuma millya! mh kuwa makini wewe.
Aishieni huko huko na mafisadi yenu. Mpopoane mawe au mpigane risasi mtajua wenyewe. Mzimu wa Millya utawatesa sana.
Msiihusishe Chadema na Lowassa. Ikiwa mmekosa mwelekeo basi mkafie mbele.
umenena ndugu'
Pamoja na uyo rafiki yake kumtetea,hii ishu ya kutoroka na fedha kubwa kiasi hicho imeishammaliza kisiasa bwana Millya.pole yake!
Pamoja na uyo rafiki yake kumtetea,hii ishu ya kutoroka na fedha kubwa kiasi hicho imeishammaliza kisiasa bwana Millya.pole yake!