Recent content by Lato Telaino

  1. Lato Telaino

    Naombeni ushauri wa kisheria kwa hili

    Ukimpa mwanafunzi mimba kesi ipo mpaka mwezi wa nane kipindi mtoto yupo tumbon na akisha jifunguwa hapo hamna kesi jmh cha kufanya mkapime D.N.A chukueni toto lenu kiroho safi sema mtapigwa faini ukwen kuwen tayar kwa hilo.
  2. Lato Telaino

    Ushauri wa bure kwa graduates wanaofikiria kwenda JKT

    Ni kweli kwa waliokuwa na vyeti vya chuo ni sawa na bure kambin cz wanajikuta wanajuwa vingi , arafu vitu vinginr ukishaona watu zaidi ya wawil watatu wame kuelewesha jarbu kukubaliana nao usiwe mbishi kama ruba
Back
Top Bottom