MBONA JAMII FORUMS ILIPENDEZA TU NA HAIKO LIMITED! “JAMII AFRICA” IS VERY LIMITED, MAANA SIKU TUKITAKA KUJITANUA WORLDWIDE ITABIDI TUBADILI TENA JINA, ILA JAMII FORUMS IPO UNLIMITED MAANA YES NI FORUMS MBALIMBALI. KWAHIYO SIKU MKITAKA KUBADILI TENA JAMII AFRICA ILI IWE WORLDWIDE MTAIITA “JAMII...
Ulisema wewe ni ndugu wa marehemu na kwamba ni mnufaika peke yako🤔something’s fishy here! Now unaulizia pesa zima chukua muda gani kuingia kwenye akaunti ya ‘Mama’ ambaye kwa maneno yako naye ni “mnufaika”.
Watch yourself man, your story isn’t giving.
Kiukweli nampenda ex (ingawa ana drama nyingi, kununa kwingi na bado anajitafuta). Huyu wa sasa imebidi niwe naye kwa sababu sipendi kuwa single na kiukweli ni responsible sana. Ila moyo aisee
Watu mnafurahisha kweli. Kama vile wewe ni malaika. Kila mtu ana ukurasa wake ambao asingependa kuusoma kwa sauti hivyo usijifanye mtakatifu au mwerevu sana.
Jamani sio mtu mzima. Kanipita miaka michache, haizidi mitano (hajafikisha hata 33). Hajaoa na hana mtoto na sio tajiri ila anatoa kwa kujali tu Kama mpenzi wake. Na sio kwamba ananipa mamilioni, ni hela za kawaida kwa sababu kipato ni cha kawaida sana tu.
Sijafanya umalaya. Kila kitu kimetokea kwenye muda wake na sasa nipo katikati ya kuchagua kati ya wawili. Mbona ni vitu vinatokea sana, kwanini hapa mnajifanya Kama ni kitu cha ajabu au kigeni!?
Jamaa mpya sio kwamba ni tajiri, ni anatoa kama mwanaume anavyotoa kwa mpenzi wake. Ex tulikaliana kimya kwa miezi kadhaa ila ni mtu tuna miaka kadhaa kwenye mahusiano. Vaa viatu vyangu halafu toa ushauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.