Recent content by Lapdown

  1. Lapdown

    Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

    Mhutu ktk ubora wake, anajilipa zile push up.
  2. Lapdown

    Fahamu virefu vya baadhi ya maneno yaliyofupishwa

    AF=Afadhali afe (mhutu)
  3. Lapdown

    Fahamu virefu vya baadhi ya maneno yaliyofupishwa

    CCM= Chama cha majizi.
  4. Lapdown

    TLS ni mali ya umma, sheria ya TLS imetungwa na Bunge

    Acheni ujinga, sheria ya ndoa imetungwa na bunge. Je ndoa ni ya uma?
  5. Lapdown

    Tusibeze, maandamano yapo ila kufanikiwa au kutofanikiwa kwake inategemea Polisi imejipangaje

    Maneno hayo inafaa ukamwambie mamako. Sisi tushachoka.
  6. Lapdown

    Maandamano yatakayofanyika katika balozi zetu yatadidimiza uwekezaji nchini

    Wewe si ndo dereva wa sahani kwa shemejiyako, mume wa dadako? Maisha utayaelewa dadako akipigwa palanja na mumewe, maana itabidi ushikishwe ukuta ndo ule.
  7. Lapdown

    Maandamano yatakayofanyika katika balozi zetu yatadidimiza uwekezaji nchini

    Wanaompenda huyu mhutu ni ma waziri, makatibu wakuu, rc, dc, ded na wakuu wa majeshi. Wengine wanaompenda ni wanafiki tu. Anachukiwa na kila mtu mwenyekujitambua.
  8. Lapdown

    Hongera Magufuli, Hongera Tanzania, Hongera Afrika, tunawakomesha!!

    Unapongeza kitu gani hasa, wakati hao unaowabeza wasipochangia ktk bajeti yetu tumekwisha. Taifa gani la kipuuzi limejitawala kwa zaidi ya miaka hamsini halijaweza japo kuunda cherehani.
  9. Lapdown

    Tusirudie Makosa ya TAZARA kwenye SGR

    Makosa yatarudiwa, tena kwa kiwango cha juu kwani mmiliki mkuu wa ujenzi huu si watanzania, Bali ni wachina.
  10. Lapdown

    January Makamba: Mzee anieleza siri juu ya mzee Nnauye, mzazi wa Nape

    Nitajisikia poa iwapo Nina maneno ambayo yalistahili yasemwe uani nayasema barazani kwa kutafuta kiki za kisiasa.
  11. Lapdown

    Musiba: Nina majina 1,800 ya wanaompa Mange Kimambi siri za Serikali; kuna vigogo wa Serikali, CCM na CHADEMA

    Acha ushoga,kama una ushahidi wa kosa lolote kisheria nenda mahakamani, hapa si mahala pake.
  12. Lapdown

    David Kafulila apangua hoja zote za Zitto Kabwe kuhusu ripoti ya CAG

    Ateuliwe kudeki vyoo vya magogoni daima.
  13. Lapdown

    Mbunge Bwege: Siwaelewi mnaposema nchi iko salama, ina amani

    Lilitokea kipindi walipouhalalisha uhutu wao kwa kigezo cha kuwasaka magaidi wa Kibiti.
  14. Lapdown

    Mbunge Bwege: Siwaelewi mnaposema nchi iko salama, ina amani

    Hii kazi ilikuwepo miaka mingi nyuma, mbona hatukuyaona haya? Huu ni uhutu.
Back
Top Bottom