Wewe si ndo dereva wa sahani kwa shemejiyako, mume wa dadako? Maisha utayaelewa dadako akipigwa palanja na mumewe, maana itabidi ushikishwe ukuta ndo ule.
Wanaompenda huyu mhutu ni ma waziri, makatibu wakuu, rc, dc, ded na wakuu wa majeshi. Wengine wanaompenda ni wanafiki tu. Anachukiwa na kila mtu mwenyekujitambua.
Unapongeza kitu gani hasa, wakati hao unaowabeza wasipochangia ktk bajeti yetu tumekwisha. Taifa gani la kipuuzi limejitawala kwa zaidi ya miaka hamsini halijaweza japo kuunda cherehani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.