Hahahahaha naona mh Rais wanyetishaji wake hawajampa madudu ya huko kwa kweli TANAPA inabidi waicheck vzr for sure kuwe na usawa katika Ajira haiwezekani kila mtu ailalamikie TANAPA hapa atatumbuliwa mtu soon we subiri tuu
Sawa sawa Mkuu ila kuna mdau alisema TANAPA wanapanua Mbuga zaidi yani wanageuza mapori kua hifadhi na hivyo idadi ya kila kada itaongezeka nakumbuka alisema hifadhi Tano zinaongezwa labda badae tutaitwa mkuu Tumuombe Mungu labda wametuweka kwenye database
Mkuu mbona tuliambiwa hata wale ambao hatujaitwa tutatumiwa emeil za kutaatifiwa kuwa hatukufanikiwa lakini naona kimyaa au watatuita kwa phase nyingine?Nimeshangaa hata aliyepata marks za chini yangu kaitwa ila mimi kimyaaa nimepekua mpaka kwenye sperm huko kwenye emil hakuna daaah any ways...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.