Nafikiri ni utaratibu wao au huwa kuna jambo la kimamlaka linawasubirisha. Mimi pia nilipiga oral November 2023 tukaahidiwa baada ya wiki 3 but hadi leo ubao wa website yao hawajawahi ku-upload matokeo.
Duuh kumbe huwa inachukua hadi miezi 9+?🤔🤔
UTANGULIZI:
Miaka ya hivi karibuni watanzania tumekuwa tukipokea taarifa au kushuhudia mauaji ya kinyama kutoka mikoa mbalimbali nchini. Bila shaka wote tunatambua kuwa kumtoa mtu uhai wake ni kinyume na haki za binadamu kwani unamuondolea haki yake ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.