Kweli Nimeamini Kua Viongozi Wetu Wanaamini Kabisa Kua Wananchi Wanaowaongoza Ni Majuha, Hawaelewi Kitu Hivyo Hujiropokea Tu! Kwa Kutoa Majibu Mepesi Katika Mambo Magumu, Mnatutia Hasira, Nyie Subirini Zitafika Arobaini....
Ila Kweli Nimeamini Kua Viongozi Wetu Wanaamini Kua Wananchi Wanaongoza Ni Majuha, Njia Zao Za Ufahamu Zimeziba Ndiyo Maana Wanajiropokea Tu! Kutoa Sababu Nyepesi Katika Mambo Magumu Kwa Kujua Wananchi Wanamtindio Wa Ubongo Hivyo Haelewi Kitu, Mnatutia Hasira, Nyie Subirini Zitafika Arobaini...
Rais Kikwete Alipolitangazia Taifa Kuhusu Nia Yake Ya Dhati Ya Kuona Tanzania Inapata Katiba Mpya,katiba Itakayotokana Na Matakwa Ya Wananchi, Nilimuona Bonge La Jembe Anayetaka Kuacha Historia Isiyofutika Kwa Watu Wa Kizazi Hiki. Lakini Alikuja Kunishangaza Wakati Wa Ufunguzi Wa BMK Pale...
Viongozi Walioingia Madarakani Kwa Kutumia Pesa, Kwa Kawaida Hulinda Madaraka Yao Kwa Gharama Yoyote Iwe Kwa Kuua Wale Ambao Wanaonekana Kutishia Usalama Wa Madaraka Yao, Kubambika Kesi,kuteka Na Kutesa,kutumia Vitisho Mbalimbali, Kwa Ajiri Kulinda Madaraka Yao Mwigulu,wasira Wameivuruga TIS...
Mh.Sitta Utambue Kwamba, Ukawa Kutoka Bungeni Ni Kwasabu Mwenyekiti Wako Wa Ccm, Na Wewe Sitta Kama Msimamizi Wa Maagizo Yake, Pamoja Na Wanaccm Wote Ndani Ya Bunge La Katiba Mna Nia Mbaya Na Katiba Mpya Kwa Kutaka Kutelekeza Maoni Ya Wananchi Na Kujadili Ya Kwenu Kwa Maslahi Yenu. Hiyo Sababu...
Vitendo Vya Ugaidi Vinavyoendelea Humu Nchini Sasa Vimeanza Kutupa Wasiwasi. Hari Ilianza Kama Utani Kwa Bomu Lilorushwa Kanisa Katoriki Arusha,mkutano Wa Cdm Na Kuendelea Mpaka Sasa Ni Wa 6.Kule Z'bar Watu Kumwagiwa Tindikali Hakuishi.
Hali Hii Inamaanisha Nini? Kwa Kawaida Kuna Kitengo Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.