Recent content by langai

  1. L

    Tamko la wajumbe wa CHADEMA Kanda ya Magharibi, Mkoa wa Tabora, Wilaya ya Tabora na Uyui

    kwani mkiitisha baraza kuu kuna shida gani? mbona hoja ya baraza kuu kuitishwa hapa haijajibiwa ipasavyo? CHADEMA wakati mwingine mkubali madhaifu mlionayo na myarekebishe....vinginevyo cc tuliowapenzi wenu tunaoongozwa na fikra huru isioegemea upande wowote wa propaganda zenu tunaona kuna...
  2. L

    Pasaka: Asili, umuhimu wake na tamaduni zetu

    passover imekuwepo tangu israel wanatoka kwa farao,imeendelea kuwepo hadi wakati wa yesu,na hata yesu mwenyewe amesherehekea pasaka soma matayo26:17,leo wengi wanasherehekea kufufuka kwa yesu na sio pasaka,pasaka halisi ni ule mkate na divai mnayokula mara kwamara ktk ibada zenu soma matayo...
  3. L

    Zanzibar NI Nchi-Samia Suluhu

    kwani nani anasema znzb sio nchi? mbona hii c hoja? wale wanaosema si nchi,watuambie lini znzb ilitangazwa kua mkoa au jimbo ndani ya tz?
  4. L

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    huwezi kulazimisha mtu awe unavyotaka ww,mi sion kama kuchoma kazi zao ndo suluhisho,mi nawapenda na nitaendelea kununua kazi zao,japo kisiasa nawaona kama wamepotea njia...! naheshim hisia zao.
Back
Top Bottom