Ccm ikitaka kutawala milele...iajili tu wasomi na wataft za fikra za watu, ili wajue namna ya kuwachezesha watz, wala hmna haja ya kujitabishaa ucku kucha kupigania usawa,haki na maendeleo.
sisi watu weusi mda mwingine ni watu wa kushangaza sana hatujui tunataka nin by pro. Lumumba
Hivi kwel hujui km mkulu aliepo na aliepita ni wapgaji.... wao watang'olewa lini?
Au ndio tunajitoa ufaham tu huku vtu vko wazi.... ila poa ngoja tuone magufuli atafanya nin...cha ziada
Hawez kupambana na mfumo uliomfikisha hapo alipo, ndio mzizi wa matatzo yetu tz.... kwahiyo hyo ni epson nyngne tu lkn season tunayochek ni ileile.....
sijui inaitwaje hii season???
Tutumie ujinga wao kujinufaisha..may b
Kwa hii 5bora weng wanaopenda utendaji kazi najua watasema magufuli ndie...lakini kiuhalisia mfumo uliopo haupendi mtu anadai kua husimamia sheria bali mtu anelinda masrahi kwa mgongo wa sheria...nahisi wameamua kubadili chupa tu mvinyo ni ulele yaani membe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.