Mie binafsi nmesoma mawazo ya watu kuna vitu vingne nimejifunza, labda ya kuongezea kama upo mazingira ya dsm nadhani ndo rahis zaidi kufanya. Kama ukiweza unaweza fungua huduma ya mpesa, tigo pesa, airtel money na halopesa na vocha kwa ziada na ukitaka ufanikiwe zaid tafta na line za lipa namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.