Habari zenu waungwana, naomben msaada wa kutatua changamoto katika gari, Nina Toyota ractis cc 1490 engine 1nz-FE, ina week tangu niitoe showroom, tatizo nililobaini NI kwamba inakula wese ambavyo sio kiwango chake kinachofahamika. Litre moja inatembea km 11. Je huu ulaji WA mafuta upo Sawa...
Mimi nimeota npo na dem kitandani tumejiwekea enclosure, kam maish ya udom yalivyo, yule dem nkamchezea san ila akagoma kabsa kusex. Nje ya kile kitanda kulikuw na watu wengi wanafunz na wao, baada ya kutoka pale kitandani jamaa yang mmoj akaniita pemben huku analia akanambia anamuhis huyo dem...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.