ukiambiwa changanya nazako mie najiuliza ivi kwa nini kama huyu mzee alikuwa nachukia rushwa nawanamwambia kamati yake ihongwe 50mil kwanini hakusema wakati ule na akajiudhuru ile kamat kuonesha kuchukizwa na kitendo cha serikali iliyonachombo cha takukukru ,kana kwamba haitoshi nikwanini...
kinachonishangaza ni mtazo wa andiko yan lengo lako nikutueleza kuwa magufur hapendwi siyo vinginevyo yan unaandika kwa lengo hilo,hata wanaandaliwa kwenye miji mikubwa then njian watu wanaonekana wapo wanaomsubir na bado magufur anapendwa na nmtu sahihi afu nyie ukawa mnanishangaxa mliwahi...
wanakuwa wanajua kuwa atapita hivyo wanakuwa wapo kumsubil by zeway nafaham pia kuna watu huandaa watu lakin watu wanakosekana,andiko lako linalenga kutuaminisha kuwa magufur hana watu nakuwa anaandaliwa watu bila kukubalika lakin ukweli ni kuwa magufur anakubalika hamna mfano boss
wivu mbaya mtajinyea mnasubili lowasa mliyemwita fisadi ili mtudanganye eti ni msafi hakuperekwa mahakaman tunazo kumbukumbu za slaa wenu tunaona sasa mnabeba makapi ya ccm nyie ndo uelewa wenu mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.