Recent content by Lalita

  1. Lalita

    INAUZWA Nauza machine ya kutengeneza soft Icecream

    Habari, Kwa yoyote anayehitaji hii machine, naiuza, ni yangu, nimeitumia kwa miezi miwili tuu, ni nzima kabisa, nauza kwa sababu nimekosa muda wa kusimamia, machine ipo Morogoro. Bei ni 1,600,000, kama utahitaji piga simu no. 0628015467
  2. Lalita

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Machine ya icecream bado ipo, bei ya punguzo 1,800,000/= ni nzuri na ni kubwa mzabzab Financial Freedom na woote mnaohitaji karibuni sana
  3. Lalita

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mpendwa, bado ipo, na punguzo lipo pia
  4. Lalita

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Habari, ninauza icecream mashine kwa Tsh 2,000,000/= tu, nipo Morogoro mjini, kwa anayehitaji, tuwasiliane kwa no. 0628015647
  5. Lalita

    Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

    Anayehitaji mashine ya kutengenezea soft ice cream, 2,100,000 tuu, niliinununua sikuitumia, anayehitaji aniDM
  6. Lalita

    Msaada kuhusu dawa za Wakorea

    Kunywa antibiotics kwanza uone, huenda ni UTI ndo maana mkojo unauma
  7. Lalita

    Kama unaongea lugha ya kingereza vizuri bila kukwama nicheki tufanye kazi

    I am good in English, and not i am good at English.
  8. Lalita

    Natafuta marafiki wa kufanya nao tathmini ya biashara ya mazao ya kilimo, Samaki na dagaa

    https://chat.whatsapp.com/EbwFeprO7Id0LGrGLlx053, group hiloapo, tujiunge ili tuweze kushare bei za mazao mbalimbali sokoni, ili kujua soko zuri liko wapi.
  9. Lalita

    Bei za sokoni mazao mbalimbali

    Tumeunda hili group, ili tuwe tunasaidiana bei ya mazao mbalimbali,, ili kujua soko zuri lilipo
  10. Lalita

    Bei za sokoni mazao mbalimbali

    https://chat.whatsapp.com/EbwFeprO7Id0LGrGLlx053
  11. Lalita

    Natafuta marafiki wa kufanya nao tathmini ya biashara ya mazao ya kilimo, Samaki na dagaa

    https://chat.whatsapp.com/EbwFeprO7Id0LGrGLlx053 link hiyoapo kaka
  12. Lalita

    Natafuta marafiki wa kufanya nao tathmini ya biashara ya mazao ya kilimo, Samaki na dagaa

    Tupeane updates hizo za mazao jamni, tusipojiongeza maisha yatabaki kuwa magumu
  13. Lalita

    Natafuta marafiki wa kufanya nao tathmini ya biashara ya mazao ya kilimo, Samaki na dagaa

    Tupeane updates hizo za mazao jamni, tusipojiongeza maisha yatabaki kuwa magumu
  14. Lalita

    Msaada: Nahitaji ardhi ya kulima kwa trekta mkoani Morogoro isiyo milimani kuanzia ekari 100

    Habari, mtu anayetaka shamba mvomero, maeneo ya bwawani. naomba aniatafute pm, kuanzia heka 10 kushuka chini, heka 350,000, maeneo ni virgin, hayajawahi kutumika, hata mimi nilikuwa natafuta, nikapata huko, nina plan ya kusafisha na kupanda miti ya matunda, nimeanza kazi ya kusafisha.
Back
Top Bottom