Sawa Mh Makonda kwa hilo tunakupongeza sana ila tizama nia njema icje ikawa no mtego unapewa viwanja vya thaman hiyo nawewe unawapa wachina Mali wa watanzania milele na milele.
Kawaida hasa ktk nchi hii ambayo mifumo ya namna ya kupata viongoz ni mibovu sana.Hivyo tucitegemee kupata watu wanaofanya kaz kwa kufikir zai y kutumia nguvu
Hii ni kawaida kwa nchi ambazo maandalizi ya kupata viongoz wenye views za kutosha hakuna.Mungu aiweke mahala pema roho ya Ndgu Edward Moringe Sokoine.Hakika utakumbukwa sana kiongoz wa serikal wakati huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.