Recent content by ladyneema

  1. ladyneema

    Natafuta Sumsung Galaxy M30.

    Mtu anaeweza aniagizie plz.
  2. ladyneema

    Screen Touch ya Asus ZenFone3

    Nahitaji kioo cha asus zenfone3 mwenye nacho aje 0763 400 111 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. ladyneema

    BASATA wakana kumfungulia Diamond na Rayvan kufanya matamasha nje ya nchi.

    Ndio na juzi alipeleka barua ya kuomba apunguziwe adhabu ili ifikie kikomo adhabu yke aweze endelea na kazi zake za sanaa. Lkn basata walisema kuwa bado wanamwangalia maadili yke, yakiwaridhisha watamwachia.
  4. ladyneema

    BASATA wakana kumfungulia Diamond na Rayvan kufanya matamasha nje ya nchi.

    Sio kweli, ipo sana barua ya kukanusha, nenda ig
  5. ladyneema

    BASATA wakana kumfungulia Diamond na Rayvan kufanya matamasha nje ya nchi.

    Acha wafanye kama wanajikuna, hili ni muvi la kihindi
  6. ladyneema

    BASATA wakana kumfungulia Diamond na Rayvan kufanya matamasha nje ya nchi.

    Mbna ata sepenga kafungiwa kwa muda usiojulikana?
  7. ladyneema

    BASATA wakana kumfungulia Diamond na Rayvan kufanya matamasha nje ya nchi.

    Wanaotetea huu ujinga hawajui madhara alosababisha kwa watoto na vijana wetu kwa ujumla, wanaofurahia yale matusi yake jukwaani na ktk nyimbo zao ni type yake kimalezi na kimaadili yaaan ni Zero kabisa
  8. ladyneema

    BASATA wakana kumfungulia Diamond na Rayvan kufanya matamasha nje ya nchi.

    Achana nao,wanaojua tunaelewa hakuna mtu alokua juu ya sheria
  9. ladyneema

    Ubishi kuhusu share za Wasafi Media naona umeisha sasa

    Labda we ndo maskini, unabishana na mtu usomjua kwahyo bora upige jiiiiiiiiiiiiii
  10. ladyneema

    Ubishi kuhusu share za Wasafi Media naona umeisha sasa

    Cjakwambia kwamba nafanya comparison kat ya wasanii na wasanii noooooo, na ujue kua sio kila mtu anajitangaza life yke kama ndgyo domo afanyavo, wengne wapo lkn ni private lifestyle yao
  11. ladyneema

    Ubishi kuhusu share za Wasafi Media naona umeisha sasa

    Weeeeeeee acha kabisa, usilolijua ni sawa na ucku wa kiza kwako, humjui kabisa alivo na roho mbaya uyu jamaa. Chukulia mfano mdogo tu ex bodgad wke alipopata ajali, alifanyaje. Uctujaze uongo kwa mapenz yko kwake.
Back
Top Bottom