Recent content by LadyGaga

  1. L

    Ni sahihi kwa mtumishi wa bwana/mlokole kutusi

    Kuna mtu kauliza imekuwaje, ngoja nimwagie mchapo. Habari za kusadikika ni kwamba huyu mama mtu mzima ambaye ni mtumishi wa bwana, amekwazika na issue ni kwamba, ana mwanae ambaye amekatiliwa na mchumba ambaye alizaa nae, kisa ni kwamba huyo mchumba(alyekuwa awe mkwewe) amerudiana na mpenzi wake...
  2. L

    Ni sahihi kwa mtumishi wa bwana/mlokole kutusi

    Nawashukuru wote kwa michango yenu, nilikuwa nalielewa hilo sema nimeshangaa sana, kwani huyu mtu alianza kutoa matusi hayo baada tu ya kutoka kwenye ibada tena nje ya kanisa moja kubwa sana hapa jijini, na kwe status yake sema ana tabia hiyo sana. ikabidi niwaulize na wengine nijue mnaonaje hili.
  3. L

    Ni sahihi kwa mtumishi wa bwana/mlokole kutusi

    Jamani nina swali, Hivi na sahihi kweli kwa mtumishi wa Bwana ama mlokole kuwa anatukana hovyo kwa kudhamiria tena majitusi makubwa kama vile m***** we, mbwa na kusema maneno kama natamani ufe?,
  4. L

    Plot inauzwa kisukuru juu

    Kiwanja kinauzwa kisukuru juu njia ya gereza la segerea ,ukubwa ni nusu eka, kimepimwa bei ni million 25, maongezi yapo
Back
Top Bottom