sasa mbona unakasirika!?
kwani kuna sehemu yoyote nimekukwaza??
Au sina haki ya kufanya maamuzi kwa wakati nitakapojiridhisha?
Usichukie nikiwa tiyari nitakujuza
Kwenye mahusiano huwa hatutakiwi kuvumiliana tunatakiwa kuchukuliana mapangufu kila mmoja aliyo nayo.
Ukipata mtu sahihi hutomvumilia maana utafanya kukamilisha pale anapopungukiwa na yeye atafanya hivyo kwa pale unapopungukiwa wewe bila kuhisi maumivu ya kuvumiliana
Sasa hicho wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.