Habari wana jukwaa naamini mko salama,
Naombeni kujuzwa kuna sehemu nimechunguza kuna uhitaji sana wa samaki na mimi nikaona hii inaweza kua fursa maana nipo tu sina kazi ninayofanya.
Sasa lengo langu la kuja humu jukwaani ni kuwauliza wapendwa wangu na wazoefu wanaofanya hii biashara je ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.