Recent content by lady msalu

  1. L

    Kila mwanamke ana dream ya kuwa na bwana wa Kisukuma

    jamani si kila mwanamke<<<<<<<<mwanaume anapaswa kuwa mwanaume tu toka kuzaliwa kwake na mambo yake yanapaswa kuwa ya kiume, sasa hawa wasukuma wanapokuwa wapole, wanyenyekevu hii ni nini sasa amekuwa mwanamke?......mi nilikuwa na mwanaume wa kisukuma nikamwachilia mbali mambo yao siyo ya...
  2. L

    Pinda kushitakiwa kwa kauli zake tata "wapigwe"

    ni lazima tujiulize kiongozi kama pinda kutoa kauli za kuvunja haki za binadamu?????????????????hapa kuna mambo mawili 1. hana chembe ya damu ya mtanzania 2. hakulelewa na wazazi hivyo hana malezi ya kuelekezwa kujali binadamu wenzake.
  3. L

    Halima Mdee live on Star tv

    kiukweli nampongeza dada Halima, lakini vita hii ya kuuziwa/kubinafsisha ardhi yetu inabidi tupigane wote kiume.............la sivyo tutajikuta hatuna chetu.
Back
Top Bottom