Recent content by Lacoste Mbala

  1. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Kosa ni la msaliti?

    Kama walikua wameooana basi mwenye kosa ni mwanaume, kwa sababu mkioana mnakua na lenu moja ila kama walikua hawajaoana ni watu waliopaparukiana tu na kuingizana ndani basi kosa ni la wote wawili. Kwa mwanamke kosa ni kuamini kiasi cha kumpa nyara zake mtu ambaye siye mume wake halali, na kwa...
  2. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    😆😆😆😆
  3. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Yes inamuonekano super 🤩 hongereni sana
  4. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Wanahubiri vizuri tu. Shida waafrika tuliletewa injili kua inatusaidia tu kwenda mbinguni ila hatukufundishwa kuna injili pia ya namna bora ya kuishi duniani na kurithi baraka tulizoambiwa ni za Ibrahim ambaye tunajua kabisa umaskini haukutajwa kwake.
  5. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    kuna huyu mwamba Millitarydoctor alitutia moyo sijui wengine wataitwa. Ngoja tufanye mambo mngn tu sasa
  6. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Ndo habari iliyopo sasa sijui ni kweli? Tungepata lonja ya uhakika tukafocus na mambo mngn
  7. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    🫪🫪🫪🫪
  8. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hujanielewa mkuu main point ni tulioomba baada ya tangazo ndo ishaisha hivyo? Au tuendelee kujipa moyo??
  9. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Wazee wa kazi naona vijana wa BMS Wanaapa hivi karibuni. Vp tangazo la mwaka huu walihitajika walioko makambini??? Watu wanasubiri sana mtaani hatukati tamaa
  10. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mhhh hapo sasa
  11. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Daaah Mungu awe upande wetu tu sasa😩🙏
  12. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Shukran Mzee 👍
  13. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Duuuh kwa hiyo kama simu haijaita ndo ishakula kwetu hiyo???
  14. Lacoste Mbala

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kimya kimetawala mambo bado bila bila. Au huko juu pamoto wazee?
Back
Top Bottom