ambao hamjapata mkopo msikate tamaa mungu yu pamoja nanyi atafanya njia pasipo na njia hili awashangaze macho yenu mwombeni na afanye wepesi wake mh awakumbuke
K
AKA NA MIMI NINA SHIDA KAMA YAKO KIMBIA BODI FASTER MM NILIENDA JANA ALHAMISI WAMENIPA CHANCE YA KUPELEKA BARUA YA MGANGA WA WILAYA SIKUWEKA MOTHER DISABILITY DOCTOR COMFIRMATION NIMECHELEWA KUIPATA NAIPELEKA LEO BAADA YA HAKIMU KUIPIGA MUHULI
UDOM pagumu alooh! kwa watu wa humanities (now business and economics) nadhan tunamkumbuka MAN DEVIL (aman DAVID) na mwenzie FINTAN si watu wazuri bora madam pame na akina mwakapala ila si kwa aman david yule jamaa hata ukimic seminar tu umejila
dah bora mie bhana msoffe ananisubir aniregister pale UDOM na rum linaniwait mm niende sina habari na kupanga hapa no time kaka/dadangu sikushauri haswa kama ni msichana hutosoma nilijaribu kupanga nlipokua diploma mwaka wa kwanza nlizingua sikufichi nikaharibu kila kitu nikaanza upya but...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.