hi
wanajamii forum
wapo wanaodai mie nihuyo mdada liyewaita mabaazazi baadhi ya wanapm,ukweli mie sie ,ila bahati mbaya siwezi kuprove.Ila nafahamu wapo watakao kuwa serious wataniamini.
tafadhari kwa wa pm naambiwa mpaka niwe na post 5m kuweza kureply so plz mnivumilie nipost hizo 5, au...
hii wana JF
Mie ndo mara ya kwanza kupost hapa ila si mgeni wa kusoma post humu jamii forum. nafahamu huku kwenyesocial media waliomo humu, ndio waliokomitaani hivyo nimeona nijitokeze katika kutafuta mwenza wa maisha. Maombi yangukwa Mwenyezi Mungu ni kunipatia Mwenza bora atayenifaa.Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.