sema wengi hawajaelewa lakini kama unaelewa "how new system implemented" utakuwa unaelewa , unawezaje introduce the system wanafunzi wana week 2 to UE haha, walitakiwa watoe a year ya introduction to prepare wanafunzi wao
*wasome, kuna college ni ngumu dada angu asa ya TECHNOLOGY(CIVE) the way unavoweza judge kutoka na ulichosomea mbona nirahisi sana lakini ni tofauti saana
Regulations mpya za CHUO KIKUU CHA DODOMA zinatisha kiasi kwamba zinaweza kusababisha vijana wengi kurudi nyumbani, hivi sasa mwanafunzi kama hajafikisha coursework ya 16 (college zingine) na 25 (college ya Health sciences) hawatafanya mtihani wa somo husika hivyo itamfanya liwe carry, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.