Recent content by L.H.S

  1. L.H.S

    Mbowe ni mtu hatari sana, nimeanza kumuogopa

    mwambie huyo. anadhani elimu ndio akili? wapo wengi wenye akili lkini walikosa elimu na wapo wengi wenye hiyo elimu na hawana akili. maana wakati mwingine elimu ni vyumba vya madarasa tu hapa kwetu tanzania.
  2. L.H.S

    Rais Magufuli ateua Wakuu wa Mikoa, Makonda apangiwa Dar

    Kuti a nidhamu tena sio nidhamu ni nidhamu ya hali yajuu
  3. L.H.S

    Makamu wa Rais Gharib Bilal kutangaza kukihama chama cha Mapinduzi

    Kweli hizo ni tetesi hivyo tunaachana nazo kwa kuwa ni tetesi.
  4. L.H.S

    Ben Saanane kuhamia ACT - Wazalendo siku ya Ijumaa

    Ati kwani Ben SAA nane ndo nini hasa ktk siasa ya nchi yetu.
  5. L.H.S

    Mgogoro ACT-Wazalendo: Mwenyekiti Taifa atishia kuachia ngazi

    Duuuu ati huyu jamaa kabobea katika fanI ya usaliti?
  6. L.H.S

    Ewe Muislamu, Ikubali kwanza BAKWATA kabla ya kuihitaji Mahakama ya Kadhi

    Mnapoteza mud a tuu. Watanzania mmeshakuwa na udini. Udini wa nini katika maendeleo ya jamii yetu? Kwa nyinyi mnaousema uislamu je mnge zaliwa Irani mnge kuwa dini gani? Na nyie mnao Sema u-kristo vibaya mnge zaliwa itary mngekuwa dini gani? Waafrika twapigana juu ya dini na huku...
  7. L.H.S

    Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

    Uwo ushahidi wako uko wapi sasa mbona unatunyima nguvu mkuuu wa kuchngia mada yako . Yanakuwa kama maneno ya mtaani tu weka ushahidi watu tumwagike hapa.
  8. L.H.S

    Tamko la Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislam Tanzania

    Mahakama ya kadhi na kodi ya watanzania... (wakristu+waislamu.) Mhn... kodi ya makafiri kuchangia uendeshaji wa mahakama ya kadhi.
  9. L.H.S

    Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano

    Hti ipo but siasa za umaatufu zimepitwa na wakati. watanzania tuchuje nani atufaa katika kutuwakilisha sio blaa blaaa
  10. L.H.S

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 15 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

    Unajua watu wengine sijui huwa wanafikilia nini? kwa wananchi mmoja mmoja ukimuuliza kuhusu muundo wa Muungano huku kwetu zanzibar atakujibu sijui au hayo ni mambo ya wanasiasa.. na ukitaka zaidi kupata michango yawatu ni kwenye vilinge vilinge wakati mwingine ni kwa watu wasio na kazi maalumu...
  11. L.H.S

    Mawazo Nyaufu: Serikali zikiwa Mbili Zanzibar iwe ya Muungano na Tanganyika, Jee mtakubali?

    Mimi naona utania wewe kwa miaka 50 ya muungano zanzibar imechangia mara 3 tu katika serikari ya Muungano. na kumbuka gharama za maisha yetu kila kitu cheeee umeme cheee huku serikali ikidaiwa fedha kibao na tanesco. Je kuendesha serikari ya muungano itakuwaje? kulipa mishahara ya askari wote...
  12. L.H.S

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    Binafsi ninamfahamu mchungaji kakobe kwa muda mrefu. mimi si muumini wake ktk imani yake lkn namuamini kwa kila jambo. ni mtumishi wa mungu no shaka.
  13. L.H.S

    CCM wamempiga mwandishi wa habari vibaya. IGP Mangu this is the test

    unamatatizo ya akili msalani.
  14. L.H.S

    Mbeya: Wafanyabiashara Watoa Ushuhuda kuwa Mwigulu Ndiye Rais Ajaye, Kiongozi Genius

    Haaaa haaaaa ha haaaaaaaaa umenifurahisha sana kamanda.
Back
Top Bottom