Mkakati huo ulipangwa mapema mara mahakama kuu ilipotengua ubunge wa Marehemu Kabuye.Mkakati ni hivi watumishi wa idara ya usalama wa Taifa wakishirikiana na Tume ya Uchaguzi, walianza kuvuruga majina ya wapiga kura na kuhakikisha kuwa watakaopiga kura wawe ni wale wenye muelekeo wa kupigia...
Pamoja na ukweli huo bado topic hii relevant,tumechoka kutegemea misaada ambayo ina tuchelewesha kujitegemea kwa kutumia resource nyingi alizotujalia mwenyezi mungu
Mkuu Mag3 na Josh
Hoja zenu zinanikosha sana.Kwanza natoa shukrani kwa crew members wa jamiiforums kwa kutupatia uwanja wa kubadilishana mawazo ili hatima ye tuweze kujenga taifa endelevu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.