Recent content by Kyssima

  1. K

    Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

    Hizo calculation za 5% kila siku sio realistic kabisa Magwiji huwa wana target 30%-50% kwa mwaka, na miaka mingine huwa down zaidi ya 10%.
  2. K

    Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

    Kaka apa unatudanganya hamna mtu alieweza fikisha million usd kwa mtaji 100USD
  3. K

    Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

    Biashara ya matajiri hiyo, kwa maskini sisi bsdo ni utapeli
  4. K

    Onyo: Forex trading haina mamlaka ya usimamizi

    Demo haina emotion factor involved tofauti na real account kwahiyo kwenye demo haugopi kupoteza ila real lazima uwe makini Sent using Jamii Forums mobile app
  5. K

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Ila kama hauko tayari kutake risk usiwavunje moyo wengine, na biashara sio lazima kutoka jashio 24hrs ufanikiwe, kinachohitajika ni carefull planing and analysing the situation. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Nani kakudanganya huku unapata mamilioni, hayo mamilioni yanakuja after a long tym of hustling and learning, maana all succesful traders it took them more than 3 years of learning and getting it right. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Trade kwenye financial markets Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Beginners lack hiyo endelea after 2-3 months utu update Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Chukulia mfano mtu mwenye capital ya 5000usd na mtu mwenye 500 usd, wote wakifungua position yenye size ya 0.5 ambayo 1pip equates to 5usd, alafu waka loose 10 pips ambayo ni -50usd hivyo mtu mwenye capital ya 5000 usd atakuwa kaloose 1% ya capital yake wakati huo mtu mwenye 500usd atakuwa...
  10. K

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Hujaewaelewa hapo wanashauri hivyo kwasababu ukitumia capital kubwa ni rahisi kwako ku manage risk na emotions tofauti na capital ndogo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Fx pro financial limitted, hawana shida kwenye withdraws zao Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Nimejaribu kufuatilia uzi huu nimegundua watu wengi wanapuuzia Fundamental na Sentiment analysis ambazo zina 80% influence kwenye Market movements. Technical Analysis hua inatumika katika kutafuta entry and exist points sio kudetermine future trend movements. Hapa ndipo educators wengi wa...
Back
Top Bottom