Najua unafraha kuona nafasi sasa imekuwa nyeupe kwako mwakani wenye akili wako wanaushukuru Simba angalau nanyi mnaenda kupanda ndege japo sina uhakika Kama mtaweza kisa nauli
Ok Simba hatoshinda inawahusu nini?? Nyie mmeshinda nenda kwenye robo si mnajua mpira na kucheza? Simba akishindwa nyie mnapapungukiwa nn? Mshukuruni kwa kuwa mshakuwa na uhakika wa kucheza klabu bingwa mwakani ndo maana mna nyodo sasa hivi eti!! Uchawi wenu kwa Simba ndio ushindi wa Simba hebu...
Utopolo wa ajabu sana unarekebisha vyumba kwa milion 180 wakati huo huo wachezaji wanadai pesa zao na bado kila kukicha kesi fifa unadhani ni mchezaji gani atajituma
Ndugu wana Jukwaa la Elimu,
Yupo jamaa yangu ni mtumishi wa serikali upande wa utawala na ana BAED (Geography and Political Science and Public Administration) wiki moja nyuma alikuja kuomba ushauri juu ya ipi masters nzuri ya kusoma Kati ya public administration na GIS nikamshauri kwa kuwa Yuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.