Recent content by kyata

  1. K

    Huyu ndio Alikuwa Profesa Kabudi wa Kweli. Hili Toleo la Pili ni Utata

    Kwa hiyo alienda jalalani akitokea wapi
  2. K

    Nashauri uongozi wa simba sport club, usipeleke timu uwanjani tarehe 20/4/2024

    kuwaua hapana ila cha moto mtskipata
  3. K

    Hii ni Yanga sio Simba, maana ya Kikosi kipana ndio hii! Hakuna Pacome, Aucho na Yao, unatoa sare na Mamelodi iliyokamilika kila idara

    Usitumie nguvu nyingi kumuelimisha aaiyetaka elimu hiyo. Ni hivi Yanga sc anavuka hatua hii mtake msitake. Tunza hii comment mwanakwetu achana na hao Simbilisi waliojaa choyo na wivu kwa Wananchi tz
  4. K

    Evolution Of Khalid Aucho kutoka Gor mahia mpaka Yanga.

    Huku Young Africa sc tumamuita Doctor of football. tulilikosa CAF confederation cup last season kwa kukosekana kwake pale kati. Na sasa ana injury, namuomba mwenyezi Mungu apone ili Wasandawana wapatiwe haki yao. Get well soon Dr. Khalid Aucho.
  5. K

    Yanga inatakiwa ipate golikipa mzawa wa kumpa changamoto Diara

    kuna yule kipa wa Mlandege nilimshuhudia mapinduzi cup 2924, dogo yuko vizuri kuliko shati Metacha
  6. K

    BENCHIKA Atoweka nchini

    Haya kaenda course kwao, muda ni mwalimu
  7. K

    Dube aaga rasmi Azam FC

    Anakoelekea ndiyo Simba sc watamkoma
  8. K

    Aliyemleta Fredy Michael akamatwe mara moja

    Nimecheka sana mkuu
  9. K

    Uongozi wa Simba ubadili uwanja, Uwanja wa Jamhuri tutakula za uso, huu ni mwanzo tu

    Hata muende wapi, za uso ziko pale pale
  10. K

    Nimewaonya mapema tu kuwa kamwe msiutumie Uwanja wa Jamhuri Morogoro kama wa Nyumbani, bali tumieni CCM Mkwakwani Tanga mmenipuuza Asanteni

    Kumbe wewe ndiyo Popoma? by the way hiyo ndiyo Simba sc yako tunayoijua ukiondoa zile fluke za nje ya uwanja nawe inalijua hilo bila shaka
Back
Top Bottom