Mkuu ukiondoa mafao ya matibabu, mafao mengine mpaka utakapostaafu au kuacha kazi, sasa utanufaika vp ilhali bado unadunda kazini?
Wataka kwenda mbinguni kabla ya kufa! kufa kwanza mkuu
Im confused! si tuliambiwa na kuaminishwa hapa JF kuwa NSSF ni mufirisi na CAG ndiye alisema maneno hayo? Sasa hayo "mabilioni" ya faida yametoka wapi tena?
Am I missing something here?
Mzumbe kumzawadia PhD Waziri nchimbi wiki hii mnaweza kusoma gazeti La Mwananchi la leo. najiuliza kwanini Diploma,Masters na PhD zote Bwana Nchimbi amesomea Mzumbe tu? nilitegemea kwa vile kituo chake cha kazi za Waziri Nchimbi ni Dar vizuri angefanya PhD yake University of Dar-Es-Salaam.Mzumbe...
Anamfagilia Fungamtama mara tu baada ya Dowans.kulikoni Katabazi? hata yale makali yako ya zamani siku hizi hayapo tena.
Wakili: Dowans itadhohofisha nchi
niliposoma na ile makala ya Mhariri mkuu wa Tanzania Daima akimshambulia Waziri Sitta nilihisi kuna kitu mashambulizi ya Mfutakamba na...
Hii ya karibuni kumfagilia wakili Kennedy Fungamtama kama ni wakili mahiri naona dada yetu hakuwa sahihi.ni vizuri atizame jina lake amelijenga kwa muda mrefu akifuata mishiko ya mawakili ili awafagilie atakuwa anavuruga taaluma yake.Dada yangu tunakutegemea sana.
NGELEJA ajiuzulu. alikuwa mfanyakazi wa kampuni binafsi kabla hajawa waziri.alikuwa naibu waziri wakati sakata la richmond linatokota.ametulazimsha tulipe kwa haraka.
Baada ya Kennedy kuhojiwa na Tanzania Daima muda si mrefu Mhariri Mkuu wa Tanzania Daima bwana kibanda akaandika makala ya kusema Sitta anatakiwa kuvuliwa uwaziri.
Waziri wa Nishati Bwana William Ngeleja anatakiwa kujiuzulu.
kwanza kutulazimisha tulipe haraka kampuni ya kitapeli Dowans.
Pili yeye hakuwa na nafasi ya kuzungumzia habari za Dowans kwani ana Interest huko nyuma alifanya kazi za wanaosadikiwa kuwa wamiliki wa Dowans.
Tatu-Wakati wizara...
Makala ya uchunguzi ya gazeti la Tanzania Daima zaidi ya mwaka mmoja kuonesha kuwa TFF kuna wizi mkubwa si wizara wala Takukuru waliofuatilia.
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=4229
Baada ya gazeti la Tanzania Daima kufichukua wizi wa TFF kwenye mapato ya uwanja wa Taifa,wizara husika baadaye iliahidi kushughulikia suala la upotevu wa mapato ya clubs na timu ya Taifa.Rais wa Tff akaahidi kuomba ushirikiano wa wanachi kujua nani anawaibia fedha zao.
Hivi juzi kiongozi...
Mwacheni achukue ubunge wanaosema hajasoma ni haters kama GT ambao kila siku kuwashambulia wakristu,bora Mnyika hata kama ana zero kuliko Ncimbi mwenye PhD feki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.