Kasome the NOTARY PUBLIC AND COMMISSIONERS FOR OATH ACT CAP 12 tena imekua ammended mwaka huu, uyo aliekuambia 2000 mshukuru sana kakuonea huruma sheria imepandisha kiwango to 20000! Haya mambo yapo kisheria wacha kulalamika
hili neno limetokana na greek poem "theodyssey" the poem ilikua intended to be heard rather than be read bt kukatokea mabadiliko kutokana na art iliyotumika kufikisha uo ujumbe! so the conversion of somethn unachopaswa kuskia ikawekwa into writtings ndo scholars wanaita theodyssey badae in...
Asante sana! Watu ka hao nawaonaga ni wenye MIHEMUKO, wakibakishwa kwnye chujio la usaili wanaanza kuzomoka na kulalamika usaili haukua fair mbona pepa lilikua rahisi, wamechukua watu wao! wakati hawakai chini wakasoma sentensi kwa utulivu
Only shortlisted candidate wil be contacted!! let this be a lesson to u, jenga tendency ya kubadilishana namba na baadhi ya candidates mliokua wote kwnye interview hii itawasaidia kupeana updates! all in all ukiona kimya kimekua kingi we jua umebaki kwnye chujio.
Jaman CMSA si ilitangazwa na Utumishi na mchakato mzima unasimamiwa na hawa jamaa?? na utumishi wana utaratib mzuuriii tu wakuweka majina yote wanaoitwa kwnye interview so mtu ukiona hauko kwnye list fasta tu unaangalia mpango mwingine ssa huu mpango tena wakupginiana sim mtu unakaa unasubiria...
Rudini shuleni mkapge kitabu, wacheni kulalamika! Bachelor degree imekua too mainstream unaitaji kuwa na kitu cha ziada! niukweli uliowazi mtu aliemaliza tu llb akiongea na aliepita law scul tofauti utaiona tu, this is subject to sone few exceptions
nimeamini kwel watu kushindwa kupita kwnye interview tunashindwa kwa mengi despite the fact kwamba mtu unaweA kua na ujuzi na elimu inayotakiwa!
jaman mbona maelezo hua yako wazi kabisa kwenye kila tangazo la kazi normaly zile page 2 za mwanzo! tujarib bas kupoteza muda wetu kusoma yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.