Recent content by Kyakashombo

  1. Kyakashombo

    JamiiForums, kama TCRA imefungia siku 90 basi habari zinazohusu CCM hapa uchaguzi hatutaki maana serikali ni CCM

    Wamefungia Twitter(X), sasa ni jamii Forum Instagram na Facebook mjiandae.
  2. Kyakashombo

    JamiiForums, kama TCRA imefungia siku 90 basi habari zinazohusu CCM hapa uchaguzi hatutaki maana serikali ni CCM

    VPN ndio kila kitu! Kwa hizo siku 90 tunatumia VPN mbona hizo ni chache?
  3. Kyakashombo

    Mazungumzo ya Mfanyabiashara Rostam Aziz aliyoyafanya na UTV

    Huyo Fisadi Nani amsikilize? Arudishe pesa zetu za madini! Polepole ndiye kiboko ya Wana Mtandao.
  4. Kyakashombo

    Maxence Melo: Uvamizi uliofanywa ofisi za JamiiForums haujaathiri Shughuli, Miundombinu na wafanyakazi

    Msigwa anadai eti hakuna uvamizi ni Uzushi! Hii mchi ngumu sana
  5. Kyakashombo

    Gerson Msigwa: Hakuna uvamizi uliofanyika katika Ofisi za JamiiForums

    Lazima atetee uovu! Mawasiliano gani ya kuviziana?
  6. Kyakashombo

    Waumini wa Kanisa la Gwajima wafanya maombi na Ibada nje ya Kanisa hilo Ubungo

    Hii dhambi ya kuwanyima watu Uhuru wa kuongea na Mungu wao haitowaacha salama, ni ishu ya muda tu! Wangetubu mapema
  7. Kyakashombo

    Youtube is banned, uingii bila vpn

    Hawa nao wamezidi wamezuia Twitter(X) basi wazuie mpaka WhatsApp Ila haitasaidia chochote wananchi wakiamua Jambo Lao huwezi wazuia Kwa kufunga Mtandao ya kijamii.
  8. Kyakashombo

    Ludovick Utouh: Tusijikombe sana, fedha ni za Umma sio za Rais

    Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais. Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu...
Back
Top Bottom