Kiukweli kauli hiyo sikuipenda kwasababu mtu anastahili kupewa heshma yake watu walizoea kuropoka bungeni sasa yamemkuta bwanamdogo maana alifikiri yupo kwenye mkutano wa kampeni.
Nafikiri umechanganya mada katiba inayopendekezwa siyo ya Warioba, ya Warioba ni Rasimu ya II. Na ndiyo watu wengi tu ayoipenda ipitishwe kuwa katiba mpya ya familia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.