Wana MMU, heshima kwenu.
Nahitaji mwanamke wa kufunga nae pingu za maisha (Ndoa) mwenye kujiheshimu na kumcha Mungu. Awe na umri usiopungua miaka 40 mwenye kazi halali inayomuingizia kipato, kabila lolote na awe mkristo. Itapendeza asiwe na mtoto zaidi ya mmoja. Awe tayari kupima afya.
Umri...
Mwanamke gani yaani kila kitu yeye anajua na kila tukio yeye mbele.
Yaani ukiwa na mwanamke wa aina hiyo wewe hesabu siku zako za kuishi duniani ni fupi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.