Hayo yanawahishwa kuchumwa wakati ni mabichi. Wanayapepea kwenye tanuri ili yaivishwe kwa mvuke wa moto. Hivyo kwa nje linaonekana na rangi ya njano lakini ukimenya na kulila linakuwa na uchachu. Pia kuhusu kukuta chungwa liko kama sponji ni kuwa linakuwa limekata maji kwa kuwa limekaa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.