Uko sawa kidogo bosi. Mkopo nilionao ni wa mshahara means nalipa kupitia mshahara sio biashara ungekuwa mtumishi ungeelewa hii. Ninachotaka ni mkopo wa mkulima ambao baada ya kukuza wanyama nalipa huu ni ule ambao unapewa muda wa miezi sita ndio ulipe
Unakosea bosi kuomba mkopo sio kosa au kushindwa kuendesha biashara lengo ni kuongeza uzalishaji ili kutosheleza soka la nyama badili mtazamo maana umeandika kwa mbwembwe kweli
Soko ni kubwa mtaji mdogo so nahitaji kuongeza uzalishaji sijashindwa kuhudumia. Niko na biashara hii miaka sita na...
Mkuu sio kwamba siwezi kulisha niko na hii biashara miaka sita sasa na inaendelea kuomba mkopo au ubia sio kwamba nimeshindwa wafanyabiashara wote wapo hivyo sio kwamba wameshindwa isipokuwa wanataka kuongeza faida zaidi. Narudia tena SIJASHINDWA lengo ni kuongeza uzalishaji na faida.
Wadau mimi ni mwl nipo jiji la mwanza. Nimwajiriwa lkn najihusisha ktkt biashara za kilimo.
Ninaeneo la hekari km mbili na nusu. Nimejenga nyumba ya kawaida kwaajili ya kijana wa kazi pamoja na mabanda ya kuku na nguruwe.
Lkn km mnavyojua biashara yeyote inataka mtaji bila mtaji hakuna kitu...
Kwa mtumishi ambae amewahi kukopa kwenye Bank ya stanibac atupe uzoefu.
Nimetuma maombi ya mkopo leo ni wiki ya pili hamna kitu. Kila ukienda majibu hayaridhi.
Je ndo kusema hawana pesa ndio maana wanafanya hivyo au ndio utaratibu wao.
Au huwa inachukua muda gani mpk ukapata pesa uliyoomba...
Samahani waungwana mimi ni dereva bolt nipo Mwanza lkn ninasiku km 30 sijaingi mzigo kwani document yangu moja ya Latra sina. Kwahiyo account imefungwa.
Nilitamani kupata uzoefu kidogo kwa ambae amewahi kulipia na akapata latra anisaidie namna wanavyoipata ili hatimae niingie mzigoni maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.