Wazanzibar watalalamika sana kuhusu muungano ila alie watia chakani ni mzee karume kwa kuingia na kusaini mikataba mibovu ya muungano kana kwamba alijua ataishi milele.
Hivi vipengele ndivyo vilitakiwa vifanyiwe marekebisho,imebaki mwaka mmoja tu tufanye uchaguzi mkuu kwa nini tusisubili uchaguzi mkuu na nafasi zao zikashikiliwa kwa muda na makatibu kata ili kuepusha matumizi mabaya ya pesa za uma
Vita vinavyoendele mashariki ya kati vinazidi kuchukua Hali tofauti, kwa upande Mmoja Israel pamoja na washirika wake yaani ulaya na marekani Wana Kuna vichwa jinsi gani wataweza kuimaliza vita hii ambayo tayari imeingia mwezi wa tano sasa.
Upande mwingine hamas wanao onekana kama hawafanyi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.